Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watoto wengine hawatumii jina langu- Rais Museveni

Jumatatu , 29th Nov , 2021

Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni, amesema kwamba awali Uganda alizuia kabisa taasisi ama shule yoyote kuitwa kwa jina lake, isipokuwa mke wake na watoto wake licha ya kwamba wapo baadhi ya watoto wake waliokataa kutumia jina lake.

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni,

Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 29, 2021, Chato, Geita, wakati akikabidhi shule aliyoijenga kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, iitwayo Museveni shule ya Msingi, itakayochukua wanafunzi kuanzia ngazi ya awali, darasa la kwanza hadi la saba.

"Hii ni mara ya kwanza duniani kupata kituo au taasisi inayoitwa Yoweri Museveni, haikuwepo kwa sababu nilipinga kabisa sitaki jina langu kukaa kwenye vitu vya watu, mimi niko na ng'ombe zangu na watoto wangu waliokubali kulitumia sababu kuna baadhi walikataa kutumia jina langu, ila ndugu zangu Watanzania wameamua sipingi," amesema Rais Museveni.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali