Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watumishi wasakwa kwa kuiibia serikali mabilioni

Jumapili , 17th Mar , 2019

Mkuu wa mkoa wa Njombe, Christopher Ole sendeka ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuwakamata watumishi 12 akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe, Iluminata Mwenda kwa ubadhilifu.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Cristopher Ole Sendeka.

Watumishi hao wanadaiwa kuitia hasara serikali kufuatia ubadhilifu wa fedha wa shilingi bilioni 5.5 za ujenzi wa kituo cha mabasi mkoni humo.

Agizo hilo la Mkuu wa Mkoa limekuja kufutia  taarifa ya Mdhibiti na  Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kusema  ujenzi huo  haukufuata taratibu za manunuzi na Kwamba hata mkandarasi aliyepewa zabuni ya  ujenzi huo  hakuwa na sifa  ya kufanya kazi hiyo jambo ambalo limeipelekea serikali hasara.

Aidha katika hatua nyingine, Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole sendeka ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama  kuwakamata na kuwafikisha mahakamani wahusika wote waliokimbia katika kikao cha dharula alichoitisha ili kutoa taarifa za ya Mdhibiti na  Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG.

Ujenzi wa kituo cha mabasi mkoani Njombe ulianza rasmi mwaka 2018 na kutakiwa kukamilika mapema Januari mwaka, jambo ambalo limekuwa kinyume na mataraji hayo.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.
 

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea