Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wawili mbaroni kufuatia kifo cha mwana CCM Iringa

Jumatatu , 28th Sep , 2020

Mkuu wa mkoa wa Njombe, Mhandisi Marwa Rubirya, amesema kuwa tayari watuhumiwa 2, wanashikiliwa na jeshi la polisi kufutia kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM vyuo na vyuo vikuu mkoa wa Iringa aliyeuawa kikatili Septemba 20 na mwili wake kutupwa na watu wasiojulikana.

Kushoto ni Dkt. Frank Hawasi akikabidhi fedha za rambirambi zilizotolewa na Rais Magufuli kwa mzee Polkap Mlelwa, Baba mzazi wa marehemu Emmanuel Mlelwa

Mhandisi Rubirya, ameitoa kauli hiyo wakati wa mazishi ya kijana huyo, Emmanuel Mlelwa, yaliyofanyika katika kijiji cha Luvuyo kilichopo Kata ya Madope wilayani Ludewa.

Aidha kufuatia msiba huo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, ametoa salamu za pole na ubani wa shilingi milioni 5 kwa familia ya mzee Polkap Mlelwa, kufuatia kifo cha kijana wake, fedha ambazo ziliwasilishwa na Dkt. Frank Hawasi ambaye ni katibu wa NEC uchumi na fedha wa CCM Taifa.

Kijana Emmanuel Polkap Mlelwa aliyekuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Iringa alikuwa mkoani Njombe kwa ajili ya likizo na alitoweka tangu Septemba 20. 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa