Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri atumia kauli ya CAG

Jumatano , 17th Apr , 2019

Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda, amedai wizara yake ina udhaifu mkubwa katika baadhi ya maeneo ikiwemo kushindwa kusimamia utekelezaji wa sera ya viwanda, kwa kukosa wataalamu wa sera ya viwanda kwenye ngazi za Mikoa na Halmashauri.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda.

Waziri Kakunda ametoa kauli hiyo jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari, ambapo amesema ukosefu wa maofisa wa viwanda mikoani na kwenye Halmashauri kumeleta udhaifu kwenye upatikanaji wa taarifa sahihi kuhusu usajili wa viwanda.

"Napenda nikiri wizara yangu ina udhaifu mkubwa katika kusimamia utekelezaji wa sera zilizo chini ya uratibu wake, ni vizuri utaratibu wa utekelezaji wa majukumu ikiwamo takwimu za viwanda uanzie kwenye halmashauri."

Ikumbukwe kuwa Matumizi ya msamiati 'dhaifu' umepelekea mvutano wa maneno baina ya Spika wa Bunge na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali nchini, CAG Profesa Assad baada ya kutoa kauli hiyo akiwa nje ya nchi na kupelekea kuitwa kwenye kikao cha kamati ya maadili ya Bunge. Ripoti kutoka katika kikao hicho iliazimia kutofanya kazi na CAG huku mwenyewe akisisitiza kuendelea kulitumia neno hilo.

Aprili 14, 2019 Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai alimtaka CAG kujitafakari kwenda kujieleza kwa Rais baada ya Bunge kufikia maamuzi dhidi yake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali