Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Mkuu ayavunja makundi ya CCM

Alhamisi , 3rd Sep , 2020

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amevunja makundi ya wanachama wa CCM walioomba uteuzi wa kuwania Ubunge katika jimbo la Monduli mkoani Arusha na kuwataka washirikiane katika kuhakikisha chama kinapata ushindi wa kishindo.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu ameyasema hayo, wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Monduli, kwenye mkutano wa kampeni za CCM za kumuombea kura Rais Dkt Magufuli pamoja na wagombea wa nafasi za Ubunge na Udiwani wa CCM.

"Kazi iliyonileta hapa ni kuwaomba kura wana Arusha na wana Monduli, naomba kura zenu zote bila ya kujali itikadi za vyama vyenu, tumpigie kura Mheshimiwa Rais Magufuli na mgombea Ubunge Fredrick Lowassa na wagombea wote wa udiwani kupitia CCM", amesema Waziri Mkuu.

Mbali na hayo Waziri Majaliwa amesema Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2020-2025, imeweka msisitizo kwa Serikali kuleta mageuzi ya utalii, kilimo, mifugo na uvuvi ili kuwa na uhakika wa chakula na kujitegemea kwa chakula wakati wote na kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya uchumi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa