Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Mkuu wa Burundi arejea nyumbani

Jumatano , 29th Jul , 2020

Waziri Mkuu wa Burundi Jenerali Alain Guillaume, leo amerejea nchini kwake hii ni baada ya hapo jana kumwakilisha Rais wa nchi hiyo Evarist Ndayishimiye, kwenye shughuli ya Kitaifa ya kuuaga mwili wa Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa, kwenye Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa, akiagana na Waziri Mkuu wa Burundi Jenerali Alain Guillaume.

Katiba hotuba yake hapo jana Julai 28, Waziri Mkuu huyo alitoa salamu za pole na rambirambi kwa Rais Magufuli kutoka kwa Rais wake pamoja na Warundi kiujumla.

"Warundi wanawapa pole, wanawafariji, Mh Rais, Rais wangu amenituma upokee salamu kutoka kwake, anakufariji kwa matatizo makuu na msiba mkuu ulioweza kuipata Tanzania na Burundi, sitozungumza marefu kwa nyakati kama hizi", alisema Jenerali Guillaume.

Waziri Mkuu huyo wa Burundi amesindikizwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam na Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa.

Rais wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa, alifariki Dunia usiku wa kuamkia Julai 24, 2020, na atazikwa leo Julai 29, 2020, Kijijini kwao Lupaso, Masasi mkoani Mtwara.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali