Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri wa Afya Kenya kushtakiwa, wapewa siku 14

Jumatano , 12th Aug , 2020

Familia ya Mbunge wa zamani wa Changamwe Ramadhan Kajembe, imetishia kumshtaki Waziri wa Afya wa Kenya Mutahi Kagwe, kwa kutoa matamshi wanayodai yaliidhalilisha familia hiyo, kuhusu maambukizi ya Corona, ambayo huenda yatapelekea unyanyapaa kwenye familia.

Waziri wa Afya nchini Kenya, Mutahi Kagwe.

Imeelezwa kuwa Mbunge huyo wa Changawe alifariki na kuzikwa nyumbani kwake huku Serikali ikisema kuwa Mbunge huyo wa zamani alifariki kutokana na Virusi vya Corona, wiki chache tu, baada ya mkewe Kajembe kufariki pia kutokana na corona.

Soud Kajembe ni mtoto wa Marehemu Kajembe amesema kuwa kitendo kilichofanywa dhidi ya Baba yao si cha kiungwana na kwamba wamelaani kitendo hicho na kuwataka wale wote waliohusika kusambaza taarifa hizo akiwemo Waziri Kagwe, Waziri wa Elimu pamoja na Gavana Sonko, kuwa maradhi waliyoyapata wazazi wao isiwe sehemu ya kufanyia siasa zao.

Familia hiyo sasa inawapa siku kumi na nne waliohusika kudhalilisha familia hiyo, Waziri wa Afya Mutahi Kagwe, Waziri wa Elimu George Magohaa, na Gavana wa Nairobi Mike Sonko ambae pia, aliuweka ujumbe wa Kagwe kwenye mtandao wa kijamii, akijikuta kwenye orodha ya kushtakiwa, iwapo hawataiomba familia hiyo msamaha.

 

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa