Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri wa Ulinzi atangaza kujiuzulu

Jumamosi , 13th Apr , 2019

Waziri wa Ulinzi nchini Sudan Awad Ibn Aouf ametangaza kujiuzulu kwenye nafasi yake ya uongoi wa Serikali ya Mpito, ikiwa ni siku chache baada ya Jeshi nchini humo kutangaza kumuondoa Rais Omar al-Bashir ambaye aliiongoza nchi hiyo kwa miaka 30.

Waziri wa Ulinzi nchini Sudan Awad Ibn Aouf

Awad Ibn Aouf taarifa zake zimeanza kusambaa mapema leo asubuhi ambapo zimezua taharuki maeneo mbalimbali nchini humo kutokana na kiongozi huyo hivi karibuni kuonekana kwenye vyombo vya habari akitangaza kuondoa utawala wa Rais Al-Bashir.

Jenerali Awad Ibn Ouf alitangaza kuunda Serikali ya mpito baada ya kuongezeka kwa maandamano ya raia wa Sudan ambao walionekana kuukataa utawala wa Rais Bashir kwa kufanya maandamano.

Uamuzi wa Jenerali Awad Ibn Ouf umezua sintofahamu miongoni mwa wachambuzi wa siasa Afrika wakihoji huenda uamuzi huo ukawa shinikizo la baadhi ya Wanajeshi wenzake kufuatia kiongozi huyo kuwa mshiriki wa Al-Bashir kwa muda mrefu.

Alhamis ya wiki hii Gen Ibn Auf akiungana na Wanajeshi  wenzake kufikia maamuzi ya kumuondoa Rais Al-Bashir kufuatia maandamano yasiyokuwa na kikomo yaliyokuwa yakifanywa na wananchi.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi