Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wenyeviti 220 watishia kuacha kazi kisa mihuri

Jumanne , 7th Jan , 2020

Zaidi wenyeviti 220 wa mitaa ya halmashauri ya jiji la Dodoma wametishia kuachana na kazi hiyo kutokana na kukosa mihuri ya kufanyia kazi.

Baadhi ya wenyeviti wa Serikali za Mitaa ya Jiji la Dodoma

Wamedai kuwa hali hiyo inawasababishia migongano na wananchi wao wanapohitaji huduma za kiserikali.

Baadhi yao wakizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mh. Patrobas Katambi katika mkutano wa kujadili changamoto zinazowakabili, wamesema tangu wachaguliwe hawajapatiwa nyaraka muhimu za ofisi na kuwasababishia uhasama na wananchi waliowachagua.

Kwa upande Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh. Patrobas Katambi amewataka wenyeviti hao wawe na subira na kuahidi kulifikisha suala hilo Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ili kupata muafaka.

Wenyeviti hao wameingia madarakani kufuatia uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27, 2019.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya