Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya Afya yafunguka kuhusu dawa kinga

Jumatano , 15th Nov , 2017

Mganga Mkuu wa serikali Prof. Muhammad Bakar amekanusha juu ya dawa kinga zinazotolewa kwa wananchi na Wizara ya Afya kwa lengo la kuwakinga na magonjwa yasiyopewa kipaumbele kuwa zina madhara kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na baadhi ya wananchi.

Prof. Bakar ameyasema hayo katika mkutano na wahariri wa vyombo vya habari na watumishi mbalimbali kutoka wizara ya afya jijini Dar es Salaam juu ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele kama Matende, Mabusha,Usubi na Trakoma ambapo amewatoa hofu wananchi kuwa dawa hizo hazina madhara na mpaka sasa wamefanikiwa kupunguza kasi ya maambukizi ya magonjwa hayo mpaka asilimia 77 kwa baadhi ya magonjwa.

Dawa hizi hugawiwa bure na wizara ya afya kupitia mpango wa taifa wa kudhibiti magonjwa yasiyopewa kipaumbele ambapo awamu ijayo dawa zitaanza kugawiwa katika mkoa wa Dar es Salaam wananchi zaidi ya milioni nne wakitarajiwa kupatiwa dawa hizo, huku mwitikio mdogo wa wananchi hasa wa mijini ukitajwa kuwa changamoto kubwa katika mazoezi yaliyopita.

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali