Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya afya yaombwa kuangalia huduma kwa watoto

Alhamisi , 6th Oct , 2022

Wizara ya Afya imeombwa kuangalia upya swala la utoaji huduma za afya bure kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano hasa wale wanaolelewa katika vituo vya watoto yatima na waliopo kwenye makundi maalumu

Hii ni kutokana na kuwepo kwa baadhi ya changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza ikiwemo kutokupatikana na kwa baadhi ya huduma za afya kwa watoto hao hivyo vituo hivyo kulazimika kulipia gharama za matibabu kwa watoto hao.

Ombi hilo liimetolewa na mkuu wa kituo cha watoto yatima cha Mgolole sista Maria Anitha wakati wa hafla ya kusherekea sikukuu ya Mt Vicent Wa Paulo ambapo amesema licha ya serikali kutangaza uoaji wa huduma ya afya bure kwa watoto chini ya miaka mitano katika hospitali za serikali bado hali imekuwa tofauti kwasababu baadhi ya huduma hazipatikani na kulazimika kutoa gharama katika kuwahudumia watoto hao

Akizungumza kwenye hafla hiyo Mtendaji mkuu wa wakala wa mbegu za kilimo nchini ASA Dkt Sophia Kashenge amesema kufuatia ongezeko la idadi ya watoto wenye uhitaji maalum linalosababishwa na vifo vya wazazi kanisa katoliki kuangalia namna bora ya kuanzisha vituo vya kusaidia watu wazima wanaokabiliwa na changamoto hiyo

Aidha katika maadhimisho hayo wakala wa mbegu ASA imetoa msaada wa maguni kumi ya mpunga yenye shilingi milioni moja pamoja na mafuta ya alizeti lita arobaini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali