Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara yaagiza maoni ya Profesa wa Chuo yapuuzwe

Jumatano , 10th Feb , 2021

Wizara ya Elimu imekanusha waraka wa tahadhari juu ya virusi vya Corona uliotolewa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Prof. Elifas Bisanda, na kwamba tahadhari hiyo ni maoni yake binafsi na haikuzingatia mwongozo wa tahadhari kama hiyo uliotolewa na Wizara ya afya Mei, 2020.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako

Taarifa hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano serikalini wa Wizara ya Elimu Oliva Kato, na kueleza kuwa waraka huo batili wa Profesa Bisanda ulitolewa Februari 8, 2021, na kwamba Wizara inawaelekeza wanafunzi na wafanyakazi wa chuo hicho kuendelea na masomo na kazi zao kama kawaida.

Mbali na agizo hilo Wizara ya Elimu pia inatoa rai kwa taasisi zote za elimu nchini kuzingatia maelekezo ya serikali kuhusu udhibiti wa maambukizi ya ugonjwa wa Corona na kutoa onyo kwa viongozi na watumishi wa Wizara ya Elimu kuacha kutumia nembo za serikali wanapotoa maoni yao binafsi. 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil