Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara yatoa tahadhari ya ugonjwa ulioua watu 17

Ijumaa , 24th Jan , 2020

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa tahadhari ya mlipuko wa ugonjwa wa homa ya mafua makali, unaosababishwa na kirusi kipya jamii ya Corona, uliozikumba Nchi za China, Thailand, Japan, Korea Kusini na Marekani kuanzia mwanzoni mwa mwezi Disemba 2019.

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoo, Ummy Mwalimu

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara, imeeleza kuwa tayari imekwishaanza kuchukua hatua za kukabiliana na tishio la ugonjwa huo ikiwemo, kuimarisha ufuatiliaji wa ugonjwa huo, kupima sampuli, kuwataka Waganga wa Wakuu wote kuchukua tahadhari na kuimarisha ufuatiliaji, kuandaa maeneo maalumu ya matibabu endapo mgonjwa atajitokeza pamoja na kuandaa vifaa kinga.

"Ugonjwa huu huambukizwa kwa njia ya hewa kwa kuingiwa na majimaji yenye virusi, kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kukohoa au kupiga chafya au kwa kugusa majimaji au makamasi kutoka kwa mgonjwa aliyethibitishwa" imeeleza taarifa hiyo.

Takwimu za mlipuko wa ugonjwa huo zinaonesha kuwa hadi kufikia januari 22, 2020, watu wapatao 560 wameathirika huku vifo vikiwa ni 17, ambapo Nchi ya China imethibitisha wagonjwa 550 na vifo 17.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya