Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zahanati yakwama kuzinduliwa kisa nyumba ya Mganga

Jumatano , 20th Mar , 2019

Wakazi wanaoishi mwambao wa ziwa Tanganyika, katika Kijiji cha Itetemya Halmashauri ya mpanda Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi wanakabiliwa na tatizo kubwa  la kukosa huduma za afya.

Zahanati

Hali hiyo inawalazimu kwenda umbali mrefu  kupata huduma za afya wakati mwingine akinamama wajawazito hujifungulia njiani na wengine kujifungulia majumbani.

Wakazi hao wameiomba serikali kuwatazama kwa ukaribu wananchi hao  kwa kuwafungulia Zahanati  iliyojengwa kwa nguvu zao na msaada kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF awamu ya tatu, baada ya wananchi hao kuibua mradi huo lakini tangu kukamilka kwake miaka miwili  iliyopita bado haujaanza kufanya kazi kutokana na kutokamilika kwa nyumba ya Mganga Mkuu.

Baadhi ya wakazi hao wakapaza sauti zao kwa serikali kuiomba iweze kuwafungulia zahanati  hiyo ili waweze kupata huduma jirani na kuepusha vifo.

Picha ya Zahanati ya Kijiji cha Itetemya

 

Mwenyekiti wa Kijiji anaizungumziaje Zahanati hiyo

 

Kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji cha itetemya ameeleza kwa masikitiko makubwa adha wanazopata wananchi wake, akisema kwamba kwa upande wa TASAF wao walishamaliza kazi yao lakini tatizo linaloikwamisha ufunguzi wake bado haijulikani.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava