Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zitto Kabwe akamatwa, Mbunge Bwege na wengine 5

Jumanne , 23rd Jun , 2020

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amekamatwa leo Juni 23, 2020, na Jeshi la Polisi wakati akiwa kwenye kikao cha ndani cha kupokea Madiwani 8 waliojiunga na chama hicho wakitokea chama cha Wananchi CUF katika Jimbo la Kilwa Kusini.

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, na kulia ni Mbunge Mstaafu wa Kilwa Kusini Selemani Bungara (Bwege).

Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho Ado Shaibu, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa hajakamatwa peke yake bali na viongozi wengine wa chama ambao waliambatana kwa pamoja.

"Ndugu Zitto alikuwa Kilwa Kusini kwenye ziara ya kupokea madiwani 8 wa CUF, ambao wamejiunga na chama chetu na leo walikuwa wanakabidhiwa kadi, Polisi wamevamia na wameondoka naye pamoja na Mbunge Bwege na viongozi kadhaa wa Kitaifa, hivyo jumla ni 7, wapo kituo cha Polisi Kilwa tunaendelea kufuatilia sababu na kwanini jambo hilo limetokea" amesema Ado Shaibu.

Taarifa kamili inafuata.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi