Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

60 waishia mikononi mwa polisi Kilimanjaro

Jumatatu , 15th Feb , 2021

Watu 60 wakazi wa wilaya ya Rombo wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanajaro kwa tuhuma za utengenezaji wa pombe haramu ya gongo na usafirishaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi na mirungi.

Katikati ni Mkuu wa operesheni maalumu za jeshi la polisi Tanzania kamishna msaidizi mwandamizi Mihayo Msikhela na Kushoto ni Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa kilimanjaro Ronald Makona

Mkuu wa operesheni maalumu za jeshi la polisi Tanzania kamishna msaidizi mwandamizi Mihayo Msikhela amesema watu hao wamekamatwa na lita 500 za pombe haramu ya gongo na zaidi misokoto 2300 ya bangi.

"Tumefanikiwa kukamata watuhumiwa takribani 60 vielezo vilivyopatikana ni gongo ambayo ni lita 549.2 , mitambo ya kutengeneza gongo ambayo ni 18, mapipa matupu 112, pikipiki 4, madumu tupu 38  ya lita 20 yenye rangi ya njano, ndoo mbili tupu za lita 20 , mirungi kilo 68.8, misokoto ya bangi 2340, mazao ya misitu ambayo ni mbao 497" amesema kamishna msaidizi mwandamizi Mihayo

Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa kilimanjaro Ronald Makona akazungumzia zoezi hilo ambalo amesema ni endelevu kwa wilaya zote za mkoa wa kilimanjaro na tiyari wana majina ya watu amabo wanaendelea kuwaorodhesha kwenye orodha yao na wataendelea kuwasaka mpaka pale watakapopatikana.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma