Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Arejea nyumbani kwao baada ya miaka 46

Jumanne , 26th Jan , 2021

Mwanaume mmoja nchini Kenya aliyejulikana kwa jina la Francis Indek Arachabon, amerejea nyumbani kwao baada ya kutoweka kwa miaka 46, ambapo inadaiwa kuwa wakati anaondoka alikuwa na miaka 29 na aliaga kwamba anaenda kumtembelea mjomba yake mkazi wa Kimilili.

Francis Indek Arachabon, aliyeondoka nyumbani kwao mwaka 1975 na kurejea 2021

Arachabon amerejea nyumbani kwao katika kijiji cha Kolait, Teso Kaskazini, kaunti ya Busia, mnamo Januari 17, 2021, na kupokelewa na kaka yake mwenye umri wa miaka 71 Erneo Okadapao, ambaye alieleza kuwa baada ya kumtafuta kwa muda mrefu aliahidiwa na mchungaji wa kanisa moja kwamba ndugu yake atarejea.

Inadaiwa kuwa Arachabon, baada ya kwenda kumsamilia mjomba yake, baadaye alielekea katika eneo moja linaloitwa Soy kwa lengo la kutafuta ajira na ndiyo ulikuwa mwanzo wa yeye kupoteza mawasiliano na familia yake.

Akisimulia maisha yake ya huko alipokuwa Arachabon, amesema kuwa kwa miaka hiyo yote alianzisha familia na mwanamke aliyemtaa kwa jina la Susan Tabolei, na kupata watoto watatu na kudai kwamba familia yake hiyo ndiyo chanze cha yeye kutoreea nyumbani.

Aidha mbali na yeye kuanzisha familia hiyo, alidai kwamba alikuwa akifanya kazi ya kulima mashamba ya watu na kupata fedha za kuihudumia familia yake.

Chanzo: Tuko swahili
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi