Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Balozi wa Canada na Uingereza watembelea IPP Media

Jumatatu , 3rd Mei , 2021

Balozi wa Canada nchini Tanzania Pamela O'Donnell na Balozi wa Uingereza nchini, David Concar  leo Mei 03, 2021, wametembelea Ofisi za East Africa Television na East Africa Radio na vyombo vya IPP na kujionea shughuli mbalimbali za uendeshaji ikiwemo uandaaji wa vipindi na urushaji matanga

Wa pili kushoto Balozi wa Canada nchini Tanzania Pamela O'Donnell,na wa pili Kulia Balozi wa Uingereza nchini, David Concar wakiwa na Mkuu wa vipindi vya Radio wa East Africa, Lydia Igarabuza (Wa kwanza kulia}.

Wakizungumza mara baada ya ziara wameeleza kufurahishwa na mabadiliko ya teknolojia katika vyombo hivyo, pamoja na ufanyaji kazi katika vyombo hivyo vya habari.

Balozi wa Canada Nchini Pamela O'Donnell (wa kwanza kulia) akiwa na mtangazaji wa Kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio Maryam Kitosi

Ikiwa leo ni siku ya  maadhimisho  ya uhuru wa vyombo vya habari duniani, mabolozi hao walipata wasaha wakuzungumza na wafanyakazi wa vyombo vya IPP Media kuhusu uhuru wa vyomBbo vya habari, huku wakigusia lengo lao la kufanya kazi na nchi nyingine katika kusaidia kuboresha uhuru wa habari.

Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar akielezewa jambo na Mkuu wa vipindi vya East Africa Radio Lydia Igarabuza

Pia wakielezea mtazamo wa vyombo vya habari nchini wamevipongeza na kuelezea kuwa vimejikita katika kuhabarisha umma huku habari zake zikijikita  kutoka mamlaka husika na zile zitokanazo na maoni ya wananchi.

Naye Mkuu wa vipindi vya Radio wa East Africa, Lydia Igarabuza akitoa hoja juu ya kipi kifanyike katika tasnia ya habari ameeleza kuwa ipo haja ya kuboresha utaalum kwa waandishi katika maeneo mbalimbali ambapo maboresho hayo yote yanaweza yakafanyika kupitia program za kuwaongezea uwezo waandishi.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa