Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatuwezi kuitukuza dhambi - Mwigulu

Jumatatu , 22nd Mei , 2017

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Nchemba ametoa agizo kali kwa kusema yeyote atakayebainika kumpa mwanafunzi mimba atachukuliwa adhabu kali dhidi yake na endapo mzazi naye atashabikia hilo naye atahukumiwa kwenye uovu huo pia.

Mhe. Mwigulu amesema hayo pindi alipokuwa anachangia hoja bungeni  Dodoma zilizokuwa zimemgusa na kusema imekuwa kawaida kwa viongozi pamoja na wazazi kutohangaika kujua ni namna gani ya kuwalinda wanafunzi wanaopata mimba, na badala yake wanahangaika kuhalalisha kuruhusu wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo yao kama kawaida.

“Hatuwezi tukaipa dhambi jina zuri na baadae tukaitukuza. Watoto wengi wakipata mimba hatuangaiki ku-'protect' kwanini wanapata mimba, kwanini tusizuie wasipate mimba utotoni.Tunahangaika kutaka kuhalalalisha wapate mimba, Namimi nasema kama Waziri wa mambo ya ndani ya nchi atakayempa mimba mwanafunzi tutamkamata na atafika katika mikono ya sheria, mzazi atakaye shabikia mwanafunzi kupewa mimba na yeye atakuwa ameshiriki kwenye uovu wa hilo"- alisema Mwigulu

Pamoja na hayo Mhe. Mwigulu amesema kuwa mtoto mdogo aliyopo shuleni akaruhusu masuala ya kupata mimba basi atambue amekiuka maadili ya elimu, mila, imani pamoja na maadili ya sheria za nchi.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa