Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wahariri wamvaa Mwakyembe

Jumanne , 20th Jun , 2017

Wizara ya habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetakiwa kufuata Miongozo na sheria za kusimamia vyombo vya Habari na maudhuhi yao ili kuepusha kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari nchini.

Waziri wa Habari,Michezo, Sanaa na Utamaduni, Harrison Mwakyembe.

Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Waharir{TEF} Deudas Balile, amesema kuwa, kitendo cha kulifungia gazeti la Mawio ni kinyume cha sheria hivyo na kwamba ni vyema Wizara ikawa mlezi na kufanya majadiliano na vyombo vya habari ili kuwezesha uhuru wa habari na utawala wa sheria kufuata mkondo wake.

Tamko hili limetolewa ikiwa ni siku chache baada ya serikali kufungia gazeti la MAWIO kwa kile kilicho daiwa kukiuka baadhi ya vifungu vya sheria katika sheria mpya ya huduma za habari ya mwaka 2016 kuwa sio kweli, kwani vifungu vya sheria hiyo vinataka Waziri kupeleka madai Mahakamani ili iamuliwe endapo nikosa kisheria.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi