Alhamisi , 28th Dec , 2017

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa  amekagua miradi ya maendeleo  jimboni kwake wilayani Ruangwa Mkoani Lindi.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua  mradi wa  ujenzi wa zahanati  ulipo katika  kijiji  cha Mibure pamoja na  mradi wa maji wa kijiji cha Namakuku Wilayani Ruangwa Mkoani Lindi.

Waziri Mkuu huyo yuko  jimboni kwake Wilayani Ruangwa Mkoani Lindi kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa mwaka.