Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afariki kwa kuzidisha dawa za nguvu za kiume

Ijumaa , 26th Jun , 2020

Kutoka nchini Kenya, katika Kaunti ya Kakamega, mwanaume aliyejulikana kwa jina la Munala (42), amefariki Dunia baada ya kudaiwa kutumia dawa za Viagra ili kuongeza nguvu za kiume.

Akithibitisha taarifa hiyo Afisa kiongozi wa Polisi wa Kakamega David Kabena amesema, marehemu alikodisha chumba kimoja kwenye hoteli huku akiwa na mwanamke Anyango (31) siku ya Juni 23 mchana.

"Wawili hao waliagiza chakula katika hoteli hiyo ila mwanamke huyo ndiyo alikuwa amekula, asubuhi yake mwanamke huyo alitoka chumbani na kumfuata meneja wa hoteli na kumwambia kama mpenzi wake amefariki baada ya kutumia dawa za kupandisha ashiki za kimapenzi 'Viagra' kupita kiasi".

Afisa huyo wa Polisi ameongeza kusema "Mkuu wa hoteli hiyo aliwaita maafisa wa polisi, kisha kuupeleka mwili Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya Kaunti ya Kakamega ambapo ulifanyiwa upasuaji, na matokeo ya upasuaji yalionyesha marehemu alifariki kutokana na mshtuko wa moyo ambao unaaminika kusababishwa na dawa hizo".

Chanzo TukoNews, Kenya 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa