Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ajali ya MV. Nyerere yamzuia Asha Baraka

Jumatatu , 24th Sep , 2018

Mkurugenzi Mkuu wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka amesherehekea 'birthday' yake 'weekend' hii bila kukata keki, huku akidai sababu kubwa ni msiba uliotokana na ajali ya kivuko cha MV. Nyerere mnamo Septemba 20, 2018 mkoani Mwanza.

Asha Baraka

Asha Baraka ameeleza hayo alipokuwa anazungumza na eNewz na kusema amepokea kwa huzuni kubwa taarifa ya ajali hiyo na ndio iliyomsababisha kutokata keki kwasababu ya huzuni aliyokuwa nayo.

"Nimepata zawadi chache zikiwemo keki mbili, ambazo moja nimepewa na wadau wa muziki wa Twanga na nyingine kutoka kwa binti wa filamu lakini sitaweza kuzikata kutokana na kuzama kwa MV. Nyerere, na baadhi ya fedha ambazo nimechangiwa nusu nitazitoa kwenye mchango wa maafa ili mradi tu kuwasaidia wezetu huko Mwanza", amesema Asha Baraka.

Kwa upande wake, Thea ambaye ni muingizaji wa filamu nchini amesema kwamba Asha Baraka amekuwa ni kama maama yao kwani anawafundisha mambo mengi juu ya sanaa hivyo nilazima awe naye katika siku yake ya kuzaliwa, huku akidai ameshasahau masuala ya ndoa kwa sasa na anaishi maisha yake bila ya kukumbuka chochote kile kinachohusu ndoa.

Ajali ya kivuko cha MV. Nyerere imetokea Septemba 20, 2018 katika Ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watanzania takribani 224 ambao wamezikwa katika makaburi ya pamoja yaliyopo viwanja vya shule ya sekondari ya Bwisya mita 250 kutoka gati la Bwisya.

Hadi sasa serikali imeshaanza kuchukua hatua stahiki kwa mamlaka husika juu ya tukio hilo, licha ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuunda rasmi tume ya uchunguzi ambayo inaongozwa na Jenerali Mstaafu George Waitara kama Mwenyekiti wa tume hiyo, na wamepewa muda wa mwezi mmoja ili tume hiyo itoe majibu na  mapendekezo juu ya hatua ambazo serikali inapaswa kuzichukua.

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea