Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ali Kiba ataka jambo hili kwa Serikali

Jumanne , 22nd Oct , 2019

Staa wa muziki wa BongoFleva Ali Kiba, ameiomba Serikali iwatumie vizuri wasanii wake ikiwa kuna jambo muhimu kwa sababu wakifanya hivyo, itakuwa ni rahisi kufikisha ujumbe haraka kwa wananchi wake.

Ali Kiba amezungumza hayo baada ya kufika kisiwani Zanzibar na kuombwa kutangaza vivutio vya utalii vinavyopatikana kisiwani humo na Waziri wa Habari Utalii na mambo ya kale ,Thabit Kombo.

"Katika jambo la kitaifa au la umuhimu sana ili kushiriki na wananchi au wanajamii ni lazima serikali iwatumie wasanii kwa sababu ni jambo muhimu, busara na njia mbadala ambayo ni rahisi kwa kuwa sisi tunapendwa na wananchi nina imani hiyo" ameeleza Ali Kiba

"Tumekuwa tukifanya kampeni kwenye nchi tofauti tofauti kwa kutumia wasanii, vita vikitokea wasanii ndiyo wanatuliza, ikitokea majanga au serikali inahitaji msaada fulani kwa wananchi wakitutumia sisi inakuwa wepesi sana kuwatimizia" ameongeza.

Pia amewataka wananchi wote kufanya utalii wa ndani kwa sababu kila mtu ana haki ya kujua kila kitu kinachohusiana na nchi yake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali