Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba aeleza kinachomfanya asiishi kistaa

Jumatatu , 2nd Sep , 2019

Staa wa BongoFleva Ali Kiba "King Kiba" amefunguka kuhusu mshikimano wa kazi sanaa na kufanikiwa kutenganisha ustaa wake na familia katika maisha.

Alikiba

Staa huyo ameyazungumza hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, kuhusu umoja wa suala la sanaa kwa Bongo Movie.

"Sanaa ni kitu ambacho kinapendeza sana, tunaishi kwenye sanaa kwa muda mwingi ukisikiliza muziki unaishi kwenye sanaa, ukienda 'salon' kunyoa au kusukwa na kujiremba ni sanaa hata ukivaa nguo nzuri za mitindo ni sanaa pia", amesema.

Alikiba ameendelea kusema sanaa ina upana mkubwa na amesisitiza kama wanasanaa watakubaliana kuwa na mshikamano watafika mbali ila kuna mgawanyiko ambao hauleti maana na wakikaa  pamoja watafanya jambo kubwa.

Aidha Ali Kiba ameeleza kitu alichofanikiwa kutenganisha kuishi katika ustaa na familia katika maisha.

"Ni kwa sababu tunaishi maisha ambayo ni ya ukweli. Mimi naishi kama watu wengine wanavyoishi, siishi kistaa na nikisema niishi kistaa watu wataniogopa kwa sababu naweza kuishi hivyo. Ila sitaki kwa sababu nafurahia maisha ambayo nayaishi".

Pia amesema haoni sababu ya kuishi hivyo kwa kuwa hakuna mtu anayeijua kesho yake na anataka kuishi kwa usawa na kujiheshimu sana.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali