Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba aighairisha behewa la ukarimu, aanza upya

Ijumaa , 24th Jul , 2020

Kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu Tanzania Mh. Benjamin William Mkapa, msanii wa BongoFleva Alikiba ameghairisha tamasha lake la Kigoma "Behewa la Ukarimu" ambalo alipanga kufanya siku ya Julai 31 mkoani humo.

Msanii wa BongoFleva Alikiba

Akitoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram msanii Alikiba ameeleza kuwa  "Habari ndugu zangu Watanzania, kama wengi mlivyosikia Taifa letu limepata msiba wa baba na mlezi Mzee Benjamin Mkapa aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu, ni msiba ambao nimeupokea kwa masikitiko imenifikia ghafla sana, lakini ni mapenzi ya Mungu naomba Mungu ampumzishe mahali pema

"Kutokana na msiba huu mzito nimeahirisha show yetu ya Kigoma iliyokuwa ifanyike Julai 31 ili kushiriki  msiba huu wa kitaifa mpaka Agosti 14, pia nimehairisha zoezi la upokeaji michango mbalimbali ambalo nilipanga kulifanya kesho, taarifa za siku ya kupokea michango kwa ajili ya kuweka kwenye  Behewa la Ukarimu  nitatangaza baada ya msiba kumalizika ahsanteni, natoa pole kwa watanzania na wapambanaji wote walioguswa na msiba huu" ameongeza 

Kupitia post zake za nyuma alitangaza kurudi nyumbani kwao kufanya tamasha hilo kwa mara ya kwanza mkoani Kigoma baada ya kupita miaka 6.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi