Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba atoa sharti ''likitimizwa naachia ngoma''

Jumatatu , 3rd Dec , 2018

Mkali wa Bongofleva ambaye kwasasa ametambulisha 'Label' yake ya muziki inayofahamika kama (Kings Music Record Label) ambayo ina wasanii wanne, ametoa sharti dogo kwa wapenzi wa muziki wake kama wanataka ngoma mpya kutoka kwake.

Msanii Alikiba

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Alikiba ametoa mkwara huo kwa kuwaaambia mashabiki kuwa ngoma mpya ya wasanii wa Kings Music iitwayo 'Toto' ni kali na kwa anayebisha amemtaka akune kichwa ili aachie ngoma.

''TOTO ni shida fanya kama unajikuna nitoe kubwa'', umesomeka ujumbe huo kutoka kwake.

Katika ngoma hiyo ambayo imeachiwa wikiendi iliyopita, Alikiba hajaimba kama alivyofanya kwenye wimbo wa kwanza badala yake amewaacha wasanii Abdukiba, Cheed, Killy na K-2GA.

Alikiba hajatoa wimbo wa peke yake tangu Mei 11, 2018 alipoachia Mvumo wa Radi, lakini alishirikiana na wasanii wa Kings Music kwenye wimbo wao wa kwanza ulioitambulisha Lebo hiyo uitwao 'Sina'.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi