Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amber Lulu apora mume wa mtu

Jumanne , 19th Mar , 2019

Msanii wa kizazi kipya asiyekaukiwa na vituko mjini, Amber Lulu anadaiwa kumpora mpenzi wa msanii mwenzake anayejulikana kwa jina la Haitham Kim.

Amber Lulu

Stori za Amber Lulu kumpokonya Haitham mpenzi ambaye pia ni mzazi mwenzake, zilianzia kwenye mitandao ya kijamii baada ya msanii huyo ku-post picha ya kaka huyo na kisha kuweka alama ya makopa kopa.

Kama hiyo haitoshi, Amber Lulu aliweka maneno yenye utata kwenye ukurasa wake wa Instagram akirusha jiwe gizani ambalo limetafsiriwa kuwa ni dongo la msanii mwenzake.

"Ungetaka awe wa kwako peke ako ungemzaa wewe,  kwani si atuna macho, sirembii", ameandika Amber Lulu.

Hata hivyo baada ya ujumbe huo Haitham katika ukurasa wake aliweka picha ya ua jeusi na ujumbe wenye kuashiria kuvunjika kwa mahusiano yake na Baba wa mtoto wake.

Pamoja na hayo, katika kuonyesha ugomvi anauweza Amber Lulu akampost mwanaume huyo kwa maneno kwamba,"mwendo wa kuenjoy  miluzii kidogo".

Katika kutaka kuthibitisha tuhuma hizo kama zina ukweli, Amber hakupatikana katika simu yake ya mkononi huku Haitham Kim simu yake ikiwa hapokelewi.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa