Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amber Rutty aeleza mipango yake akipata watoto 11

Jumatano , 23rd Oct , 2019

Video Vixen aliyejipatia umaarufu mitandaoni Amber Rutty ameieleza EATV & EA Radio Digital kuwa ana ndoto za kumiliki timu ya mpira kupitia watoto ambao atajaliwa kuwapata yeye na mume wake Davil.

Amber Rutty

Amber Rutty amesema mpaka sasa yeye na mumewe wamefikisha mwaka mmoja wa ndoa yao ila hapo awali walikuwa kwenye mahusiano kwa miaka 6, ila mipango ya kupata watoto wamemuachia Mungu.

"Mtoto ni majaliwa ya Mungu kwa sababu ndiyo anabariki, sisi binadamu hatuwezi kusema tunataka watoto, na ingekuwa inawezekana basi tungekuwa tunataka vitu fulani na tunavipata  kama ni hivyo watu tungekuwa tumeshazaa sana ila tukibarikiwa mtaona watoto wetu" ameeleza Amber Rutty.

"Mimi nimepanga kuwa na watoto 11 yaani timu ya mpira kwa sababu nina mipango ya kuzaa watoto hao ili kutengeneza timu ya mpira ili wanangu wawe wachezaji, ila bado sijajua nitawapa jina gani" amenongeza.

Aidha  Amber Rutty amesema yeye ni muislam kamili na anaijua dini vizuri pia ana mipango ya kusomea kila kitu kuanzia lugha ya Kiingereza hadi Kihindi kwa sababu anaogopa kufeli katika maisha.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi