Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Asilimia 75 ni 'reality'- Barnaba

Jumatatu , 24th Jul , 2017

Barnaba Classic amefunguka kwa kudai sehemu kubwa ya tungo ya nyimbo zake anazoimba yeye pamoja na wasanii wengine huwa ni mambo ya kweli ambayo yamewatokea wao ama watu wao wakaribu.

Msanii Barnaba (Kushoto) akiwa na mtangazaji wa kipindi cha Bongo flava Top 20 Jr. Junior

Barnaba amebainisha hayo katika kipindi cha Bongo flava Top 20 kutoka East Africa Radio ambapo ilikuwa live kutokea viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam na kusema kwa upande wake haoni faida ya kuachia nyimbo mara kwa mara kama wanavyofanya baadhi ya wasanii wachache wenye lengo la kuharibu kazi za wenzao mpya zinaachiwa.

"Tunachokiimba ni 'reality' yaani karibu asilimia 75 ya nyimbo zangu ni mambo ambayo yamenitokea mimi pia muda mwingine ni kuutoka kwa rafiki zangu pamoja na jamii inayonizunguka. Pia namuunga mkono Shetta kwa suala lake aliloongea hivi karibuni kuhusiana na kutoa nyimbo kwa mfululizo kwa upande wangu sioni manufaa ya aina yeyote katika hilo", amesema Barnaba.

Kwa upande mwingine Barnaba amesema yupo mbioni naye kutengeneza T-shirt zenye jina lake lengo ni kutaka kuwafurahisha mashabiki zake waliyokuwa wakiomuomba kwa kipindi kirefu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali