Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba wa watoto 151,wake 16 aapa kuongeza familia

Jumanne , 11th Mei , 2021

Hii ndiyo maana halisi ya maskini furaha yake ni watoto wake na familia yake, huko nchini Zimbabwe mzee wa miaka Misheck Nyandoro mwenye watoto 151 na wake 16 amesema bado ana mpango wa kuongeza wanawake wengine na watoto wengine.

Picha ya Mzee Misheck Nyandoro na watoto wake

Mzee huyo wa miaka 66 amesema ameanza style hiyo ya kuoa wake wengi kuanzia 1983 amesema ndoto yake ni kuwa na wake 100 na watoto elfu 1, na ndoa yake ya 17 itafanyika majira ya kiangazi.

"Ninachofanya ni kumalizia project yangu niliyoanzisha mwaka 1983, sitaacha mpaka kifo kinichukue, sasa hivi najiandaa na ndoa yangu ya 17 itafanyika majira ya kiangazi, watoto wangu wananisaidia wananipa pesa na zawadi

"Kila mmoja wa wake zangu hunipikia kila siku, lakini kanuni ni kwamba mimi hula chakula kitamu tu, ambacho nitaona chini ya kawaida hutupiliwa mbali wanajua sheria, waliahidi kutokasirika wakati nitapeleka chakula chao kwao. Chochote kinachorudishwa kinapaswa kuwa somo linalowasaidia kuboresha" ameongeza

Aidha mzee huyo amesema kwa usiku mmoja hutumia angalau kulala na wake zake wanne kati ya 16 kwa usiku mmoja.

Chanzo : Fr24 New na Tuko News.

Jionee Ugomvi wa Nay wa Mitego na Mama mtoto wake, bonyeza hapa kutazama
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya