Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baraka aikimbia Tanzania, akataa kuitwa tapeli

Jumamosi , 13th Jul , 2019

Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Tanzania Barakah the Prince, ameeleza kuwa kwa sasa ana makazi nchini Kenya na amekataa suala la yeye kuitwa tapeli.

Barakah amesema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live "FNL" ya EATV, baada ya kuulizwa kama amehamia nchini Kenya.

"Kwakweli nina makazi Kenya, nina makazi hapa , sijakimbia Tanzania bado nina familia hapa, nina nyumba na ninaishi hapa. Nimeenda Kenya kwa sababu nataka kutanua wigo na soko la muziki wangu, nataka soko langu liwe kubwa kwa Afrika mashariki"

Aidha msanii huyo amezungumzia suala lililokuwa linaendelea mtandaoni la yeye kudaiwa na kuitwa tapeli kwa kusema, "hivo vitu vinatokea kwa sababu mimi ni mtu maarufu, sio mimi tu hata wanasiasa wakubwa, mabilionea nao wanaitwa matapeli, kwahiyo hamna kitu chochote kilichokuwa kinaendelea kati yangu mimi na ile stori iliyokuwepo" amesema.

Pia msanii huyo amedokeza ujio wa ndoa na mpenzi wake Naj itakayofanyika mwaka huu, baada ya wawili hao kuishi katika mahusiano kwa miaka mitano.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali