Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Barnaba awakana wapenzi wake wote

Jumatatu , 21st Mei , 2018

Mwalimu na mwanamuziki wa bongo fleva, Barnaba Elias 'Barnaba Classic' amesema kwa sasa hayupo kwenye mahusiano na mwanamke yoyote, huku akidai endapo siku ataamua kuweka wazi juu ya mahusiano yake basi watu wafahamu kuwa anaoa ama anamvalisha pete ya uchumba mpenzi wake nasio vinginevyo.

Barnaba ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya picha zake kuzagaa  kwenye mitandao ya kijamii na kupelekea baadhi ya watu kudai huwenda wanawake hao anatoka nao kimapenzi nasio vinginevyo.

"Sijui chochote kinachoendelea, nilisema siku ambayo nitakuja kumtangaza mwanamke wangu basi kuna mawili naoa au namvisha pete ya uchumba kwa hiyo sina mapenzi ya mitandao sana na mpenzi wangu nimpendae kwa kweli siwezi kumuweka kwenye mitandao, mwanamke wangu ninamuheshimu  na nitakaye kuja kumpa nafasi ya maisha si mwanamke atakayekuja kuwa wa mitandaoni kiukweli sidhani kama mwanamke wangu anatakiwa kuwa kwenye chombo cha maonesho ya mitandao", amesema Barnaba.

Pamoja na hayo, Barnaba ameendelea kwa kusema "Barnaba tayari ni 'star' na watu wakiniona nipo nimesimama na mwanamke huyu mara yule wanahisi labda ni wapenzi wangu. Mimi sina mwanamke wala mpenzi 'of course am gentleman' muda mwingine nina haja zangu ninajua namna gani ninavyozikidhi lakini sina makubaliano ya aina yeyote ya kimapenzi kama kijana kusema kwamba hapa nimefunga".

Mtazame hapa chini Barnaba akifunguka zaidi.....

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa