
Staa wa muziki wa miondoko ya bongofleva Belle 9
Aidha mkali huyo pia ameongea na enewz kuhusiana na kufanya kazi na waongozaji mbalimbali wa video akiwemo Hanscana ambaye ni mmoja wa waongozaji hodari nchini.
00:00
00:00
00:00

Staa wa muziki wa miondoko ya bongofleva Belle 9 amejipanga kuisimamia kampuni yake ya Vitamin Music kwa kuiboresha zaidi akiweka wazi sababu ya kucheleweshwa kutoka kwa video ya 'Shauri zao'.
Staa wa muziki wa miondoko ya bongofleva Belle 9
Aidha mkali huyo pia ameongea na enewz kuhusiana na kufanya kazi na waongozaji mbalimbali wa video akiwemo Hanscana ambaye ni mmoja wa waongozaji hodari nchini.