Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Pol atafakari cha kumjibu Nay wa Mitego

Alhamisi , 6th Feb , 2020

Mkali wa RnB Bongo, Ben Pol, amepata kigugumizi cha dakika moja  kumjibu Nay Wa Mitego ambaye alimwambia kwamba amepata ganda la ndizi, amesahau muziki na ameolewa nchini Kenya, baada ya kumuona anakula sana bata.

Pichani kushoto ni Ben Pol, kulia Nay Wa Mitego

Nay wa Mitego amesema hivyo kupitia wimbo wake wa ipo sawa, baada ya Ben Pol kula bata sana nje ya nchi akiwa na mpenzi wake Anerlisa Muigai.

Kwa upande wa Ben Pol akijibu tuhuma hizo, ametafakari kwa muda kisha amejibu hana maneno mazuri ya kumwambia Nay Wa Mitego.

"Huwezi amini kwenye bata nililokula sio kama kuna mtu nataka kumkomoa au kutaka kumuonyesha mtu kitu chochote ni ukurasa wa maisha ambao umepita au upo ninaouishi,  cha umuhimu ni kwamba, hakuna dhuluma wala cha haramu au ushenzi wowote unaofanyika, kuhusu Nay wa Mitego mmmhh sina maneno mazuri kwenye hilo na sina cha kumwambia" ameeleza Ben Pol.

Ben Pol ni mmoja wa wasanii ambao wamesafiri na kula bata sana nje ya nchi mwaka 2019, baada ya kuwa kwenye mahusiano na mfanyabiashara maarufu nchini Kenya aitwaye Anerlisa Muigai.

HABARI ZAIDI

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro