Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Pol kumuoa Ebitoke ?

Jumamosi , 24th Mar , 2018

Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye inasemekana yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na muigizaji wa vichekesho Ebitoke, amewataka watu kuwa na subira juu ya kujua ukweli uliyopo baina yao kwa madai hakuna jambo linaloweza kufichika milele.

Ben Pol ametoa kauli hiyo baada ya kila kukicha kusumbuliwa na waandishi pamoja na mashabiki zake kiujumla kutaka kujua ukweli juu ya ukaribu wake na mchekeshaji huyo ambaye yeye binafsi anatangaza kuwa yupo kimapenzi na Ben kimapenzi kila aulizwapo na watu.

"Sijawahi kutoka katika mahusiano na Ebitoke yaani kila kitu kipo vile vile hakuna kilichobadilika baina yetu. Siwezi kusema kama nipo kwenye mahusiano naye ila tupo karibu sana", amesema Ben Pol.

Pamoja na hayo, Ben Pol ameendelea kwa kusema "watu wawe wanasubira maana wanauliza sana juu ya hilo lakini mimi ninachoweza kusema watu wawe na subira kila kitu kitakuja kuwa bayana kwasababu hakuna kitu kinachowez kuwa siri milele au kukwepeka kila siku. Wanachotaka kukiona watu watakiona tu wenyewe kwa macho yao kwa hiyo wasiwe na haraka kiasi hicho".

Kwa upande mwingine, Ben Pol jana kupitia EATV ameweza kutambulisha rasmi video ya wimbo wake mpya inayojulikana kwa jina la 'natuliza boli' ambayo mpaka sasa inaendelea kufanya vizuri katika mtandao wake.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya