Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bibi atabiri makubwa kuhusu Mo Music

Jumatatu , 24th Sep , 2018

Msanii wa muziki wa kizazi kipya bongo, Mo Music amefunguka na kujigamba kuwa yeye ni miongoni mwa watu waliowahi kutabiriwa katika ukoo wao na bibi yake mzaa baba yake mzazi, kuja kuwa msanii mkubwa wa muziki nchini licha ya kuwa alipotea kidogo kwenye 'game'.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya bongo, Mo Music.

Mo Music ameeleza hayo alipokuwa anazungumza kwenye PLANET BONGO ya East Africa Radio muda mchache kabla ya kutambulisha kazi yake mpya ya 'umesahau' na kusema kuwa enzi za uhai wa bibi yake huyo alikuwa anapenda sana muziki na ndiye aliyemtabiria kipaji chake.

"Moja ya vitu ambavyo vilivyowahi kutabiriwa katika ukoo wetu ni kutokea mtu ambaye atakuwa mkubwa sana kwenye sanaa na inawezekana ikwa ni mimi, kwasababu kwenye ukoo wetu hakuna msanii mwingine zaidi yangu", amesema Mo Music.

Mbali na hilo, Mo Music amesema ameweza kutimiza malengo yake na kubadilisha baadhi ya vitu katika maisha yake kupitia muziki kwa zaidi ya asilimia 60 na kudai kwa sasa anajivuta zaidi ili aweze kukamilisha mengine.

Mo Music ni miongoni mwa wasani walioweza ku-hit kwenye miaka ya 2014 na kibao chake cha 'basi nenda' ambacho kilikuwa gumzo kila mahali hususan kwa watu waliokuwa wanaachana kwenye mahusiano yao wakikitumia kama ishara ya kuruhusu kuondoka au kuachilia jambo fulani.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa