Jumapili , 17th Jan , 2016

Staa wa muziki Black Rhino ametoa video itakayokuwa maalum kwa mashabiki wake wote wanaomfuatilia kuweza kuimba kwa kusoma mashairi ya nyimbo yake mpya iliyobatizwa jina la 'Time ya kumake Doo'.

Staa wa muziki nchini Black Rhino

Rhino ameimabia enewz kuwa ameamua kufanya hivyo ili kuweza kuwapa mashabiki wake nafasi ya kuimba wimbo wake huo mpya ambao hivi sasa anafanya mchakato wa kutoa video yake.