Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bob Maneck aja na mapinduzi katika muziki

Ijumaa , 24th Mar , 2017

Mtayarishaji wa muziki Bob Maneck kutoka AM Records amesema anategemea kuachia kitabu chake kinachoelekeza na kufundisha masuala ya muziki hivi karibuni baada ya jambo hilo kushindikana mwaka 2016.

Mtayarishaji wa muziki Bob Maneck akiwa studio

Maneck amesema tatizo lilipolekea kushindwa kukitoa kitabu hicho ni kutokana na kutafuta waandishi waliobobea katika fani hiyo ili waweze kukiandika vizuri ili mradi kisiweze kumchosha msomaji mwenye nia ya kutaka kujifunza.

"Kwa jinsi nilivyopanga mimi na namna walivyoniambia wao sikutaka kitabu changu kiwe kirefu mpaka kimchoshe msomaji lakini jisni walivyoniambia kwamba kitabu kina kanuni zake, kuna vitu lazima vitimie ili kipitishwe na watu fulani ndiyo kikamilike kabisa" Alisema Maneck

Aidha 'Producer' huyo amesema wapo katika hatua za mwisho na mpaka kufikia mwezi wa sita kitakuwa kipo mtaani rasmi huku akifafanua maudhui ya kitabu hicho kuwa kitakuwa kimeegemea zaidi kwenye ujuzi wa 'production' ya muziki kwa sababu wengi wamekuwa wakifanya kazi hizo kama kipaji na siyo kusomea.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa