Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bongo Movie watoa ahadi hii kwa watanzania

Jumatano , 21st Aug , 2019

Wasanii wa filamu za BongoMovie wakishirikiana na Miss Tanzania Elizabeth Makune, wamepanga kutengeneza filamu katika mbuga za wanyama za Serengeti na Ngorongoro.

Wasanii wa filamu

Wakizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya bodi ya utalii Tanzania mwenyekiti wa BongoMovie Steve Nyerere amesema, 

"Tunapenda kumshukuru Mh. Hamisi Kigwangalla kwa nafasi aliyotupa sisi wasanii, tunaenda kutengeneza filamu ambayo haijawahi kutokea katika mbuga za Serengeti na Ngorongoro, hili dodo tusiliache twendeni tukatengeneze filamu iliyo bora na tumsapoti Miss wetu". 

"Sisi kama wasanii hili ni jukumu letu na wajibu kwa sababu tukiangalia nchi kama Brazil inategemea uchumi wa utalii kwa unaweza kuona sekta ya utalii ilivyokuwa na umuhimu serikalini" Ben Kinyaiya.

Baadhi ya wasanii wengine waliokuwepo katika uzinduzi wa huo ni Dude, Johari, Ebitoke, Witness.

Uzinduzi kamili wa kampeni hiyo utaandelea siku ya tarehe 30 ya mwezi wa nane katika hotel ya Serena Jijini Dar es Salaam.

Mgeni rasmi wa uzinduzi huo atakuwa ni Waziri wa Utalii na Maliasili Mh.Hamisi Kigwangalla.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi