Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chameleone ampigia goti Rais Museveni

Alhamisi , 16th Aug , 2018

Star wa muziki nchini Uganda, Jose Chameleone amemuandikia barua ya wazi Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni kwa lengo la kumuombea msamaha msanii mwenzake, Robert Kyagulanyi 'Bobi Wine' ambaye anashikiliwa na Jeshi la Polisi hadi hivi sasa kwa tuhuma za uchochezi.

Jose Chameleone akiwa katika picha ya pamoja na Bobi Wine.

Chameleone ameandika barua hiyo kupitia ukurasa wake wa kijamii leo Agosti 16, 2018 ikiwa imepita siku chache tangu dereva wa Bobi Wine ambaye pia Mbunge wa Kyadondo Mashariki, kuuawa kwa kupigwa risasi katika vurugu wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Arua .

"Mh. Kyagulanyi amekuwa akishirikiana na mimi pamoja na jamii yote kuwaweka wananchi wa Uganda huru dhidi ya sauti za kigeni, tumeuza muziki wetu nje ya mipaka kupitia pesa zetu. Bobi Wine amezuiliwa shughuli zake za kiutawala, 'just like any young ambitious man, he has treaded a path of aggressiveness", ameandika Chameleone.. 

Pamoja na hayo, Chameleone ameendelea kwa kusema kuwa "ukiwa kama baba kiongozi wa taifa, ukubwa huo utuongoze sisi kwa mfano wa kusamehe na majadiliano ikiwa hilo ndilo tatizo kubwa linaloikumba jamii yetu, tunaomba msamaha. Ni mtoto wa taifa hili kama kauli mbiu inavyosema 'Kwa Mungu na nchi yangu' kwa heshima zote tunaomba Rais wetu umsamehe katika kipindi hiki, wote tunakosea lakini mtu mzuri ni yule anayesamehe.Mh. Rais Museveni, wewe ni baba, mzazi na mtu wa kusamehe. Wote tunatulia sasa tuna imani kuwa huko mbeleni tutaishi katika nchi ya amani na upendo".

Kwa upande mwingine, mashabiki na wananchi wa Uganda wamemtaka Jose Chameleone asiishe kutoa hisia zake kwenye mitandao ya kijamii pekee bali atafute njia ya kukutana na Rais Museveni, kusudi wazungumza uso kwa uso kuhusu tatizo hilo licha ya uwezekano mdogo wa kukutana na kiongozi huyo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa