Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chidi Benz atimiza ahadi yake kwa Juliana Shonza

Ijumaa , 20th Mar , 2020

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza amesema amefurahi kutembelewa na mwana Hip Hop Chidi Benz, ikiwa ni ahadi aliyoitimiza msanii huyo walipokutana katika uzinduzi wa kazi ya Lulu Diva siku ya Machi 13,2020.

Kulia kwenye picha ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza na msanii Chidi Benz

Shonza amesema Chidi Benz alimtembelea ofisini kwake Dodoma, siku ya jana Machi 19 na kumueleza mambo ya msingi kama kujisajili BASATA na kutaka kazi zake zisajiliwe na COSOTA.

Akitoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa Instagram ameandika kuwa  "Hiki chuma kipo imara zaidi ya jana, nilifurahi kutembelewa na msanii nguli wa muziki wa BongoFleva Chidi Benz ofisini kwangu Dodoma , ikiwa ni ahadi yake aliyoniahidi nilipokutana naye siku ya uzinduzi wa kazi ya Lulu Diva".

"Kubwa ameniambia anataka kufanya kazi zake za sanaa kiuhalali, kupata usajili wa BASATA pamoja na kusajili kazi zake COSOTA, pia amewashukuru mashabiki, wasanii wenziye na wadau wa muziki kwa kuendelea kumuamini na kumualika kwenye show mbalimbali licha ya changamoto alizopitia" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani