Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Country Boy adai kuwa hajawahi kuachwa

Jumatano , 16th Oct , 2019

Rapa Country Boy amepiga stori na EATV & EA Radio Digital, na amefunguka kuwa hajawahi kuachwa katika mapenzi na kwamba baada ya kushindwana kitabia yeye na Mama wa mtoto wake waliamua kutengana.

Rapa Country Boy

Akizungumzia suala la kuachana na mzazi mwenziye, Country Boy, amesema kwa sasa ana mtoto wa kiume ila anaishi kwa mama yake, baada ya kutengana kwa kuwa walishindwana ila hakuachwa,

"Nina mtoto nadhani anaenda miaka mitano, lakini Mama yake tulishaachana, sikupenda na sikutaka kuweka mahusiano yangu hadharani kila mtu anaona kwa jicho lake kwa hiyo huenda akaona njia yangu sio sahihi na yeye akaamua kwenda kwa njia yake na tulishindwana ila sijawahi kuachwa kabisa " amesema Country Boy.

Aidha Country Boy amefunguka kuhusu mahusiano ya Officiall Nai na Moni Centrozone, baada ya kusambaa kwa picha katika mtandao wa kijamii wa Instagram ikiashiria kama wameachana.

"Ni mambo tu ya mitandao tu sina uhakika na hilo maana mimi ni mtu wao wa karibu na kama taarifa za kuachana zingekuwa rasmi ningekuwa wa kwanza hata ile picha imefutwa huenda walikwazana maana kwenye mahusiano kuna kugombana na hasira" ameeleza.

Pia amesema watu wasiingilie mapenzi ya watu maana wagombanao ndiyo wapatanao.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa