Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'D. Janja hakuwa na maajabu kwa Uwoya' - Serinza.

Jumatatu , 28th Oct , 2019

Msanii chipukizi wa filamu nchini aitwaye Serinza, amesema alikuwa anamtamani kimapenzi Irene Uwoya, alipokuwa anaongea nae kwenye simu huku akiwa kwenye jakuzi wakati wanaigiza filamu yao ya "tah tah".

Serinza ameiambia EATV & EA Radio Digital, kuwa kipindi cha nyuma kabla ya kuigiza filamu moja na mrembo huyo, alikuwa anatamani mwanamke mwenye muonekano kama wa Uwoya.

"Kabla ya kufanya kazi na Irene Uwoya, nilikuwa natamani kuwa na mwanamke kama Irene Uwoya, hisia zilikuwepo tangu tunarekodi  hizo audio halafu tukaenda kwenye video, ila siwezi kuelezea kitu gani ambacho kilikuwa kinatokea pale kwenye jakuzi hata mimi mwenyewe nilisikia tah tah na hata ule utamu ulikuwa mulemule ndani " ameeleza Serinza.

Aidha Serinza amemkandia Dogo Janja, ambapo amesema hadhani kama aliipata tah tah ya Irene Uwoya kwa sababu alikuwa hana maajabu.

"Sidhani kama Dogo Janja alikuwa ameipata ile tah tah ya ndani nadhani hajaifikia, kama alikuwa mumewe mbona sasa hivi sio mkewe, kuna wakati wa kulima na kupanda, yeye kwake ulikuwa wakati wa kulima sasa hivi wenzake tunapandana, nahisi ukiwa na maajabu kwa mtu fulani unaweza ukawa hadi mwisho labda hakuwa na yale maajabu" ameongeza. 

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi