Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dance100% imewafanya vijana kuwa wamoja – BASATA

Jumatatu , 26th Sep , 2016

Baraza la Sanaa Tanzania BASATA limesema Shindano la Dance100% lililomalizika Jumamosi katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es salaam limewafanya vijana kuwa wamoja na kujenga urafiki.

Mkuu wa Matukio kutoka BASATA Kurwijira N Maregesi

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Matukio kutoka BASATA Kurwijira N Maregesi alipokuwa akitoa tathmini yake kuhusu namna shindano la Dance100% lilivyofanyika mwaka huu kuanzia mwanzo hadi mwisho.

“Dance100% mwaka huu imekuwa na mwamko wa aina yake jambo ambalo linaashiria kwamba jamii inazidi kupata hamasa juu ya shindano na vijana kwa muamko ambao umeonekana wameweza kujenga umoja na mshikamano jambo ambalo ni jema katika jamii” Amesema Maregesi.

Maregesi ameongeza kuwa licha ya mbali umoja ambao umejengeka baina ya makundi ila wengine wanaweza kujipatia ajira kwani shindano hilo limetazamwa na watu wengi na wasanii ambao wanaweza kutaka wachezaji katika kazi zao pamoja na kushiriki shughuli mbalimbali za kitaifa na za kijamii.

Shindano la Dance100% limemalizika kwa kundi la Team Makorokocho kuibuka kidedea na kuondoka na kitita cha milioni 7 wakifuatiwa na kundi la J Combat kutoka Zanzibar ambao wameibuka na kitita cha milioni mbili na kundi lililoshika nafasi ya tatu ni D.D.I Crew ambao wamejipatia shilingi milioni moja.

Matukio yote ya Dance100% 2016 yataoneshwa na EATV siku ya Jumapili saa moja jioni.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali