Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dayna ataja kinachowatia njaa wasanii

Jumanne , 28th Mar , 2017

Mwanamuziki Dayna Nyange mwenye ‘hit song’ ya ‘Komela’amefunguka yake ya moyoni na kusema wasanii wanakufa njaa kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu kwa sasa mpaka kupelekea kukosa kufanya matamasha ya kimuziki.

Dayna Nyange

Mrembo huyo amedai kuadimika kwa ‘show’ kumechangia kwa wasanii wote kuwa hali mbaya maana wengi wao wanategemea kuingiza kipato kutumia kazi hiyo huku akiwashauri wenzake wasitegemee sanaa pekee yake.

“Kwenye muziki mambo yamekuwa ‘tight’si kama zamani na siyo kwenye muziki wetu wa bongo fleva, mimi nazungumza na watu wanaofanya mpaka muziki wa dansi nao wanalia njaa hivyo hivyo, mifukoni hakuna kitu na ili kupata chochote mtu inabidi kupambana kweli kweli kutafuta namna ya kupiga show na kutotegemea muziki pekee”. Alisema Nyange

Pamoja na hayo msanii huyo ameeleza pia uchache wa mapromota umechangia kwa kiasi fulani wasanii hao kulalamika njaa kwa kuwa walishazoeshwa kipindi cha miaka ya nyuma kutafutiwa show na watu hao hivyo maisha yao yalikuwa laini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali