Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dogo Janja apiga goti kwa Linna

Jumatatu , 10th Feb , 2020

Msanii Dogo Janja ameonekana kupiga goti na kumvalisha pete ya uchumba mpenzi wake wa sasa ambaye ni mfanyabiashara kutoka mkoani Arusha aitwaye Linnahonnah maarufu kama "Quenlinnatotoo".

Picha ya msanii Dojo Janja

Taarifa hiyo imekuja baada ya kupostiwa kwa kipande cha video fupi katika ukurasa wa mtandao wa Instagram wa msanii Linah Sanga, ambayo inaonyesha Dogo Janja akipiga goti kwenye boti na kumvalisha pete mchumba wake huyo.

Kupitia video hiyo Linah Sanga ameandika kwa kumpongeza Dogo Janja baada ya kufanikisha kufanya tendo hilo kwa mpenzi wake.

Madee, Linah na Recho ni baadhi ya wasanii ambao wameenda visiwani Zanzibar kula bata pamoja na kusheherekea siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mpenzi huyo wa Dogo Janja.

Kabla ya kuwa kwenye mahusiano na Quenlinnatotoo Dogo Janja alikuwa kwenye ndoa na msanii wa filamu Irene Uwoya, pia amekuwa msanii wa kwanza kumvalisha pete mpenzi w

ake huyo kwa mwaka 2020.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi