Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV Awards zimeniweka pazuri - Khadija Ally

Jumanne , 13th Dec , 2016

Msanii wa filamu nchini Tanzania ambaye alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha muigizaji bora wa kike katika tuzo za muziki na filamu za EATV, Khadija Ally ameibuka na kutoa shukrani zake kwa EATV, wadhamini wa tuzo hizo pamoja na watu waliompigia kura.

Khadija Ally

Khadija ambaye aliingia kwenye tuzo hizo kupitia movie yake ya 3Days, ametoa shukrani kupitia ujumbe mfupi alioutuma kwa wadau wote, na kusema kuwa tuzo hizo zimemuweka mahala pazuri katika tasnia ya filamu nchini licha ya kutoshinda katika kipengele hicho.

Pia Khadija hakusita kuwapongeza wasanii wenzake aliokuwa nao katika kipengele hicho hasa mshindi ambaye ni Chuchu Hansy, huku akisema kuwa wasanii wote walikuwa bora, lakini ni lazima mshindi awe mmoja, hivyo inategemeana na bahati ya mtu, na kwamba anakubaliana na maamuzi yaliyotokea.

Khadija amesema "Kwanza kabisa nashukuru Eatv, East Africa Radio, Vodacom, Cocacola na Barclays bank kwa kuandaa Eatv Awards mie nasema asanteni na asiyekubali kushindwa si mshindani pia nawapongeza wote waliopata tunzo, na ninaamini wote tulikua bora ila kupata tunzo ni bahati tu". 

Baadhi ya washiriki wakifuatilia tukio la utoaji tuzo katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi