Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EXCLUSIVE : Nandy aeleza mipango ya ndoa yake

Ijumaa , 17th Jan , 2020

Msanii wa kike anayefanya vizuri kutoka BongoFleva Nandy, amepiga stori na EATV & EA Radio Digital na kueleza mipango yake ya ndoa, pia amefunguka sababu zinazofanya wasanii wengi wa kike wasiingie kwenye ndoa.

Picha ya msanii Nandy

Kupitia post yake aliyoweka katika mtandao wa kijamii wa Instagram, Nandy ameandika anatarajia kuwa mke wa mtu ambapo ameeleza "Kila mwanamke anastahili ndoa, wakati wa Mungu ni wakati sahihi sijui nitaolewa na nani aidha msanii au la ila tuombeane uzima nitaingia huko mwaka huu au mwakani" amesema Nandy. 

Aidha akizungumzia kuhusu sababu zinazofanya wasanii wengi wa kike wasiingie kwenye ndoa, Nandy amesema wanawake wengi wanapanga mipango yao ya baadae kutokana na ratiba na kazi ambazo wako nazo.

"Sidhani kama sisi ni wagumu kuingia kwenye ndoa ila watu hawaingii kwenye viatu vyetu, hamjui ambayo yapo kwetu kuanzia ratiba, kazi ambazo tunazo sio kama hatuingii ila sababu ni kupanga mipango ya baadae ila siwezi kuwaongelea wengine kwa mimi sio muda mrefu nitaingia kwenye ndoa" ameeleza Nandy.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi