Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fid Q akataa jina alilopewa na shabiki

Jumanne , 10th Jan , 2017

Rapa Mkongwe Fareed Kubanda maarufu kama Fid Q leo amekataa jina la 'Mungu' wa Hip hop alilopewa na moja ya shabiki wake kutokana na uwezo wa hali ya juu alionao Fid Q katika muziki wa Hip hop.

Rapa Fareed Kubanda

 

Fid Q aliamua kumchana shabiki huyo na kumweleza kuwa siku nyingine asimwite tena jina hilo la 'Mungu' kwa kuwa siku zote katika maisha Mungu ni mmoja tu na hakuna mwingine zaidi ya yeye aliyeumba dunia na vitu vyake vyote.

"Bonniephace Mungu ni mmoja tu .. So please usiniite hilo jina tena. Mungu ndiye kaniwezesha niwe na maukali hayo mimi siyo lolote bila yeye pia kakuwezesha wewe upeo wa kuweza kuyashtukia. Naomba tujitahidi kulitukiza jina lake milele. Amina" alindika Fid Q 

Mbali na hilo mashabiki wengi walionesha kumuunga mkono shabiki huyo aliyemwita Fid G Mungu wa Hip Hop na kusema msanii huyo kwa Bongo hakuna wa kufanana naye kwani uwezo wake ni mkubwa sana japo wanakiri kuwa hakupaswa kutumia jina hilo la Mungu.

Tazama hapa mazungumzo yalivyokuwa:

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa